LATEST NEWS FOR MORE INFO
Kwa mujibu wa Mwana FA mwenyewe ambaye leo ameachia wimbo wake mpya, Kama Zamani, hivi karibuni alipokea malipo ya miezi mitatu kutoka kampuni moja ya kuuza miito ya simu aka RBT yanayofikia shilingi za kitanzania milioni 18
Akiongea leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA aliyekuwa wa tatu kati ya wasanii waliopata fedha nyingi zaidi kwenye malipo hayo chini ya Rose Mhando na Diamond, amesema ameamua kuweka wazi hilo ili watu waondoe imani kuwa muziki wa hip hop hauuzi.
Anaweza kuwa ndiye video queen hot&sexy
zaidi Bongo na ingawa ameshiriki on two videos pekee anabaki kuwa
V,queen mwenye jina kubwa zaidi. Siku za karibuni amekuwa akimake
headlines on social networks pia magazeti baada ya video na picha zake
chafu kusambaa on social networks,TEENTZ imefanya nae Exclusive
interview na kuongea ya moyoni kuhusu yote yanayozungumzwa kumhusu.
''Me cjui hizo picha
zilisambaa vipi sababu izo picha zilikuwepo kwenye camera yangu na mimi
cku hiyo nilikuwa nimelewa, i was drunk sikuwa naelewa chochote na
nilikuwa south Africa kwa hiyo maswala ya kuandika habari za uongo eti
nimeenda south kuuza ,me sina dhiki ya kufikia kuuza mwili wangu eti
nipate pesa"na ,picha niliyopiga siyo ya uchi ile hata
nikikuonesha,nilikuwa nimevaa nguo kabisa ,kuna uchi nimeonesha pale?…