LATEST NEWS FOR MORE INFO

EUFA CHAMPIONS LEAGUE 16 DRAW


Re-United: Old Trafford return for Ronaldo as Man United get Real Madrid in Champions League last 16

Cristiano Ronaldo is set for an emotional return to Old Trafford after his Real Madrid side were drawn with Manchester United in the last 16 of the Champions League.
Rio Ferdinand is relishing facing his old pal. Ronaldo will be up against Ferdinand and his former club for the first time since his world-record £80million move in 2009.
Ferdinand could not contain his excitement at the draw on twitter and tweeted Ronaldo, saying "see u soon bro!!".The former United skipper said on twitter: "Oh yes, Madrid!! What a couple a games that'll be!!"
Sir Alex Ferguson will also relish going head-to-head with his old sparring partner Jose Mourinho and he has huge respect for the former Chelsea coach.
Old Trafford was the scene of one of Mourinho's most famous Champions League results when his Porto side knocked United out of the competition in 2004, on their way to the trophy.



KALLAH JEREMIAH ALBUM - KITAANI TAREHE 20


Baada ya kufanya vizuri katika baadhi ya redio na televisheni kwa ngoma yake ya Dear God, Kala Jeremiah sasa ameweka wazi kwamba siku ya tarehe 20 mwezi huu anatarajia kutoka na album yake mpya inayokwenda kwa jina la Pasaka.
Kila kitu kiko poa, Remex ya Dear God imeshakamilika, soo tarehe 20 nataraji jina langu litaanguka kitaani likiwa limepambwa na albamu ya kisasa inaitwa Pasaka, naomba wadau waipokee na kutoa sapoti yao", alisema Kalllah

Diamond Platnumz Arekodi Video Mpya - Kenya

Yeap!! That true Star anaeng'aa kwa sana hivi sasa nchini Tanzania, Diamond Platnumz a.k.a Rais Wa Wasafi anarekodi video ya ngoma yake mpya inayojulikana kama KESHO... what a simple title!!
Diamond anaetamba hivi sasa na track + video ya Nataka Kulewa na nyinginezo za nyuma, katika hali ya kuleta utofauti au kufanya video kali zaidi, anarekodi video hiyo huko Nairobi, nchini Kenya. Kesho ni video mpya inayofanywa na Diamond ambayo pia itawaonesha mastaa mbali mbali wa nchini humo...
Kama inavyoonekana (pichani) Platnumz anonekana na mwanamuziki mrembo kutoka Kenya, Avril ambae yeye ameshiriki kwa kiasi kikubwa katika video hiyo akiwa kama Video Queen.

BEHIND THE SCENE YA BARNABA NEW SONG-SOR


Pamoja na kwamba nimekuletea hiyo video ya jinsi video mpya ya Barnaba Boy ilivyokua ikitengenezwa, nalazimika kukwambia pia kwamba Barnaba december 18 2012 anaondoka kwenda U.K kwa mwaliko wa kupiga shows zaidi ya tatu.
Hii ni mara yake ya kwanza kwenda U.K ambapo mara nyingine zilizopita alipata mwaliko lakini akashindwa kwenda kutokana na kukosa Visa, moja kati ya maswali aliyojibu ni pamoja na kitu gani alipanga kukifanya mwaka huu na hakijafanyika.
Barnaba ambae ni baba wa mtoto mmoja kasema ni show ambayo aliplan iwe inaonekana au watu wanaipata kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo Youtube ambayo itakua kama show ya TV ya Fid Q ambayo anaalika waimbaji wenzake wanaonyesha vipaji vyao.

SIKILIZA NYIMBO YA X-MASS IN KISWAHILI

BLACKBERRY ITAKAYOTOKA MWAKANI

 Kwa wale wapenzi wa smartphones, Blackberry (RIM) wameachia baadhi ya picha za Blackberry 10 L-Series ambayo inategemea kutoka mapema mwaka ujao. Picha hizo zimeoionesha Blackberry 10 L-Series ikiwa katika muonekano tofauti ambapo ni nyembamba zaidi na ikiwa imepitia sehemu 50 tofauti za matengenezo (Carrier Labs) na inategemewa kupitia zingine katika wiki zijazo

CHEK BARCELONA ALVYOIUA ATLETICO MADRID

RAY C ALIPOKWENDA KUMSHUKURU KIKWETE

CHEKI MATOKEO YOTE YA PREMIER LEAGUE LEO




NEW TRACK FROM CHIEF KIJO AKA KIJOGOO




NEW TRACK - KIGAMBONI ALL STARS

NEW TRACK YA DOGO ASLAY - UTACHEZAJE

NEW TRACK: Rich Mavoko - One Time

VIDEO YA MAKAMUA ALIYODANGANYA KAIMBA NA AKON

Makamua aliongea ukweli kwamba mwaka huu uongo mkubwa alioufanya ni kudanganya kwamba single yake ya ‘bado kujuana’ amemshirikisha Super star Akon.
Alisema huo uongo wakati bado video haijatoka ila ukweli ni kwamba hajamshirikisha Akon bali ni Mtanzania anaitwa Eddo ambae kidogo ana sauti kama ya Akon, hii video hapa chini ndio ya hiyo single na huyo Eddo yuko ndani pia, itazame alafu uniambie umeipokeaje mtu wangu.

FALCAO SCORED 5 GOALS AGAINST DEPORTIVO

ATLETICO 6-0 DEPORTIVO
An unbelievable five-goal tally from Radamel Falcao contributed to Atletico Madrid’s 6-0 demolition of Deportivo on Sunday evening.
It was Diego Costa who got the ball rolling for the hosts with a goal after 23 minutes. The Brazilian showed excellent desire and strength inside the box to power a header in from Koke’s corner. From then on, it was the Falcao show.
The Colombian rounded the half off for Atletico with a superb finish through on goal and a stunning volley from the edge of the box into the far corner. He secured his hat-trick with a penalty just after the hour mark.
He then scored an instinctive striker’s goal three minutes later by finishing from a yard. His wonderful evening was complete 20 minutes from time when he took advantage of some poor defending from the visitors to run through on goal and finish beyond Deportivo goalkeeper Daniel Aranzubia.

Dully Sykes ft. Diamond + Dimpoz - Utamu (Official Video)



Watu wanaosadikiwa kuiba vitu vya Marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Millionea’ aliyefariki kwa ajari ya gari katika kijiji cha songa kibaoni wilayani muheza, wamesalimisha baadahi ya vitu hivyo kwa mwenyekiti wa kijiji hicho huku wao wakiendelea kuishi mafichoni kuogopa kutiwa mbaroni
Hatua ya watu hao kusalimisha vitu hivyo imekuja kufuatia hatua ya mkuu wa wilaya hiyo Subira Mgalu ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kuwatangazia kwamba wote walifanya jamabo hilo watasakwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

RIHANNA NA CHRIS BROWN KTK PICHA YAO MPYA


Wiki moja baada ya mwimbaji Rihanna kupost kwenye page yake ya mtandao wa Instagram picha ya Chris Brown akiwa kitandani bila shati, time hii Rihanna amezidi kuvipa vyombo vya habari cha kuongea baada ya kupost picha nyingine.Picha yenyewe ni hiyo hapo kushoto ambapo sasa inazidi kujulikana kabisa kwamba Rihanna na Chris Brown ambao ni wapenzi wa zamani wamerudiana japo hawajawahi kutamka.
Kwa mujibu wa Necole, baada ya kuiweka hii picha RiRi aliandika “I don’t wanna leave! Killed it tonight baby”Kwenye moja ya interview zake mwaka huu, Rihanna alisema bado moyo wake unamkubali sana Chris Brown na ni ngumu kumsahau maishani.Picha hizi za Instagram zimezagaa siku kadhaa tu baada ya Chris Brown kutangaza kwamba ameachana na mpenzi wake ili kurejesha amani manake hakua anapenda akiona urafiki wa Chris na Rihanna unaendelea.

UJUMBE WA MWISHO WA SHARO MILLIONEA BAADA YA KUCHAT NA LINEX

Huu ni ujumbe kutoka kwa marehemu baada ya ku chart na msanii wa Bongo Fleva hapa Tzee almaarufu kama Linex Sunday.

MSANII SHARO MILLIONEA AFARIKI DUNIA


Kuhusu kifo cha msanii/mwigizaji Sharo Milionea, namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la Maguzonizonga wilayani Muheza hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza”
DENI LA MILIONI MOJA LAMPA WAKATI MGUMU MSANII HEMED AKA PHD

UKWELI wa mambo juu ya msanii anayependa kulipuka pamba *Hemed Suleiman ’Hemedi’* almaarufu kama PHD au Alejandro, umevuja kwani inadaiwa kuwa nguo zote anazoonekana anavaa huwa anachukua kwa mkopo na hulipa baada ya muda fulani lakini sasa kiasi cha fedha anachodaiwa ni kikubwa na hana uwezo wa kulipa kwa sasa kwani ni zaidi milioni 1. Duka moja la nguo maarufu sana lilipo maeneo ya Kinondoni, ndilo lililotoa ishu hiyo baada kuona jamaa huyo anazingua kulipa na walikuwa wakimpa kila nguo anayohitaji kwani walimuamini kwa kuwa nguo nyingi alikuwa akinunua hapo kwao. Muuzaji wa pamba hizo katika duka hilo ambaye hakupenda jina lake litajwe na duka pia, alisema kuwa awali jamaa alikuwa akilipa kama kawaida lakini ilifika kipindi alikuwa anachukuwa kila baada ya wiki na hadi hivi sasa anadaiwa si chini ya milioni 1. /“Hemedi tunamuamini lakini sasa hali hii inafikia kuwa vita kwa sababu kiasi cha fedha tunachomdai ni kikubwa kwa sababu watu wanafanya kazi wanahitaji kulipwa mshahara, tunafikilia kuchukua maamuzi ili aweze kutulipa kwa haraka. Jamaa sikuhizi haji hapa na wala sijamuona kupita sasa sijui anakimbia madeni au vipi,” /aliongeza Hata hivyo*Hemedi *alipotafutwa kuzungumzia ishu hiyo kama ina ukweli wowote hakuweza kupatikana na taratibu zinaendelea za kumtafuta ili aweke wazi juu ya habari hizo.

 
  MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, amepatwa na kile kinachoonekana ni balaa nambari moja tangu apate umaarufu. Gari la Diamond aina ya Toyota Land Cruiser Prado TX baada ya kugongana na Toyota Rav 4. Jumamosi iliyopita, Diamond akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Toyota Land Cruiser Prado TX, aligongana na Toyota Rav4, lililokuwa linaendeshwa na mwanamke mmoja ambaye jina lake halijapatikana. Kwa mujibu wa Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela, Diamond aligongana na mwanamke huyo kwenye Barabara ya Kimweri, Msasani, Dar es Salaam,saa 3 usiku. Kenyela… .
HUYU NDIYE MISS TZ 2012

LORD EYEZ AIBU MAHAKAMANI



MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la Nako 2 Nako Soldiers, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Ijumaa iliyopita alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo, Kinondoni jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka sita ya wizi wa vitu mbalimbali yanayomkabili.

 
Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’ akipelekwa kwa 'Pilato'.


H-BABA ADAI KUWA DAIMOND AMECHUKUA IDEA YA NYIMBO YA NATAKA KULEWA KUTOKA KWAKE



H.Baba akionesha cd na flash zenye demo ya wimbo wake (Nataka Kulewa)
H.baba ametoa exclusively kipande cha wimbo wake uitwao ‘Nataka Kulewa’ kupitia BONGO 5 ambao amemshirikisha Q-Chief. Msanii huyo anamshutumu Diamond kuiba wazo na jina la wimbo wake huo katika wimbo wake mpya wenye jina kama hilo.
Tumefanya naye mahojiano ambayo utayaangalia muda mfupi ujao kupitia hapa hapa lakini kwa sasa usikilize wimbo huo hapa ambao bado ni demo.

                      SIKILIZA HAPA KUPITIA BONGO 5 JUST CLICK
 
Support : Copyright © 2013. MKATOLIKI ASILIA - All Rights Reserved
Template Created by Titus kapoma Published by KAPOMACLAN CO
Proudly powered by Blogger