Kwa mujibu wa Mwana FA mwenyewe ambaye leo ameachia wimbo wake mpya, Kama Zamani, hivi karibuni alipokea malipo ya miezi mitatu kutoka kampuni moja ya kuuza miito ya simu aka RBT yanayofikia shilingi za kitanzania milioni 18
Akiongea leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA aliyekuwa wa tatu kati ya wasanii waliopata fedha nyingi zaidi kwenye malipo hayo chini ya Rose Mhando na Diamond, amesema ameamua kuweka wazi hilo ili watu waondoe imani kuwa muziki wa hip hop hauuzi.
Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na
Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA
-
Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema).
Kauli ya hiyo ya Bunge im...
11 years ago




0 comments:
Post a Comment