
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Kundi la Nako 2 Nako Soldiers, Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’, Ijumaa iliyopita alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo, Kinondoni jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka sita ya wizi wa vitu mbalimbali yanayomkabili.
Isaac Waziri Makuto ‘Lord Eyez’ akipelekwa kwa 'Pilato'.



0 comments:
Post a Comment