Home » » RIHANNA NA CHRIS BROWN KTK PICHA YAO MPYA

RIHANNA NA CHRIS BROWN KTK PICHA YAO MPYA


Wiki moja baada ya mwimbaji Rihanna kupost kwenye page yake ya mtandao wa Instagram picha ya Chris Brown akiwa kitandani bila shati, time hii Rihanna amezidi kuvipa vyombo vya habari cha kuongea baada ya kupost picha nyingine.Picha yenyewe ni hiyo hapo kushoto ambapo sasa inazidi kujulikana kabisa kwamba Rihanna na Chris Brown ambao ni wapenzi wa zamani wamerudiana japo hawajawahi kutamka.
Kwa mujibu wa Necole, baada ya kuiweka hii picha RiRi aliandika “I don’t wanna leave! Killed it tonight baby”Kwenye moja ya interview zake mwaka huu, Rihanna alisema bado moyo wake unamkubali sana Chris Brown na ni ngumu kumsahau maishani.Picha hizi za Instagram zimezagaa siku kadhaa tu baada ya Chris Brown kutangaza kwamba ameachana na mpenzi wake ili kurejesha amani manake hakua anapenda akiona urafiki wa Chris na Rihanna unaendelea.

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2013. MKATOLIKI ASILIA - All Rights Reserved
Template Created by Titus kapoma Published by KAPOMACLAN CO
Proudly powered by Blogger