
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, amepatwa na kile kinachoonekana ni balaa nambari moja tangu apate umaarufu. Gari la Diamond aina ya Toyota Land Cruiser Prado TX baada ya kugongana na Toyota Rav 4. Jumamosi iliyopita, Diamond akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Toyota Land Cruiser Prado TX, aligongana na Toyota Rav4, lililokuwa linaendeshwa na mwanamke mmoja ambaye jina lake halijapatikana. Kwa mujibu wa Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela, Diamond aligongana na mwanamke huyo kwenye Barabara ya Kimweri, Msasani, Dar es Salaam,saa 3 usiku. Kenyela… .



0 comments:
Post a Comment